Familia ya marehemu Ramadhani Mwinshehe na Familia ya marehemu Kiembe binti Ndugumbi wanasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao mpendwa Bw. Sababu Ditopile Mzuzuri (pichani) kilichotokea tarehe 31/Julai/2013 katika Hospitali ya Regency,Dar es Salaam
Msiba utakuwa nyumbani kwao mtaa wa Tunduru,Ilala,nyumba namba 5.Mazishi yatafanyika tarehe 2 Agosti,2013 baada ya swala ya Ijumaa Kinyerezi,Dar es Salaam. Habari ziwafikie ndugu,jamaa na marafiki.
Innalillah wa Innaillahi rajjiun

Kwa mawasaliano
Bw. Tahadhari .S. Ditopile + 255 653 222220
Bw. Ramadhani Ditopile     +255 712 659757

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. "INNALILLAH WA INNAILLAHI RAJJIUN"

    Mwenyezi Mungu weee jamani
    kuondokewa ghafla na mdogo wangu nimeshikwa na masikitiko
    sikuwahi kukutana naye muda mrefu
    kila nikifika nyumbani tunapishana.
    Najisikia vibaya kama nilipoteza
    mwelekeo wa kumtafuta zaidi.
    Poleni saana mke na watoto zake,kaka na dada zangu wote.

    Nimemfahamisha daMkubwa anakuja toka London.Mimi na Mwinchande wa Canada pia tunakuja.

    mikidadi-denmark


    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...