Mitambo ya Vodacom salama 
baada ya moto kudhibitiwa
Moto ulitokea kwenye betri za mitambo ya simu lakini mitambo yetu ipo salama. Wataalamu wa mtandao wanaendelea kurudisha umeme ili kurudisha huduma za simu. 

Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu na kuwaomba radhi kwa usumbufu. Tutaendelea kuwapa taarifa za maendeleo ya ukarabati unavyoendelea. Juhudi zote zinafanywa kuhakikisha huduma zinarudi hewani mapema iwezekanavyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Pole kwa janga la moto. Lakini swali la msingi.. Hakuna DR site? Vodacom kampuni kubwa itakosa BCP kweli? Kwikwi....

    ReplyDelete
  2. Kumjibu tu mdau wa juu hapo, ni kutokana na kuwa na BCP ndio maana huduma zimerudi ndani ya siku moja. Haimaanishi sasa wameendelea kutumia switch iliyoungua. delay lazima iwepo kwani lazima assesment sahihi ya athari iliyotokea ifanyike na ijulikane huduma sahihi zinarudishwa bila hasara kubwa zaidi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...