Waziri wa maji Prof Jumanne Maghembe akizungumza na wajumbe wapya wa bodi ya mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi(MUWSA)wakati wa hfla fui ya kuizindua bodi hiyo iliyofanyika katika ukumbu wa bodi wa mamlaka hiyo.
Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi(MUWSA) Cyprian Luhemeja akisoma taarifa mbele ya waziri wa maji Prof Jumanne Maghembe wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya mamlaka hiyo.
Waziri wa maji Prof Jumanne Maghembe akikabidhi vitendea kazi kwa mmoja wa wajumbe wa bodi ya mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi(MUWSA) Hajira Mbande ambaye pia ni meneja wa Azania Bank tawi la Moshi.
Waziri wa maji Prof Jumanne Maghembe akikabidhi vitendea kazi kwa mmoja wa wajumbe wa bodi ya mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi(MUWSA) cyprian Luhemeja ambaye pia ni mkurugenzi wa MUWSA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...