Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari wakati wa kuchezesha droo ya pili ya mshindi wa nyumba wa promosheni ya Airtel yatosha Jishindie nyumba 3 ambapo bi Anna Gustav Lyimo (29) Afisa wa benki kuu na mkazi wa Dar es salaamu ameibuka kuwa mshindi wa nyumba ya kisasa iliyopo kigamboni jijini Dar es salaam , akishuhudia ni Meneja Msoko wa Airtel Aneth Muga ( kulia) na mwakilishi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Emmanuel Ndaki.
Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akiongea na mshindi wa nyumba ya pili wa promosheni ya Airtel yatosha Jishindie nyumba 3 mara baada ya kuibuka mshindi katika droo iliyochezeshwa katika ofisi za Airtel na kushuhudiwa na waandishi wa habari. bi Anna Gustav Lyimo (29) Afisa wa benki kuu na mkazi wa Dar es salaamu ameibuka kuwa mshindi wa nyumba ya kisasa iliyopo kigamboni jijini Dar es salaam , akishuhudia ni Meneja Msoko wa Airtel Aneth Muga ( kulia) na mwakilishi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Emmanuel Ndaki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...