Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo, Prof. Mahalu akizungumza Mhadhiri wa Chuo hicho, Dk. Natujwa Mvungi (wa
tatu kulia) pamoja na mwanafunzi wa chuo hicho Hapiness Katabazi
(kulia) na wa pili kulia ni Mhadhiri wa Sheria chuoni hapo, Hawa Juma.
Makamu
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB), Prof. Costa Mahalu (katikati),
akiwaongoza wahadhiri na watumishi wa chuo hicho kukata keki wakati wa
hafla fupi ya kutimiza miaka miwili tangu kuanzishwa kwake, iliyofanyika
katika Makao Makuu ya chuo hicho yaliyopo Mikocheni kwa Warioba jijini
Dar es Salaam jana. Wa pili kulia ni Mkuu wa Kitivo cha Sheria cha Chuo hicho, Dk. Natujwa Mvungi.
Mkuu
wa Chuo Kikuu cha bagamoyo, Prof. Costa Mahalu (kulia) akiwa na baadhi
ya waadhiri wa chuo hicho pamoja na mwanafunzi anayesoma katika chuo
hicho, Happiness Katabazi (kushoto) waliokaa.


Hiki chuo ni kile cha sanaa au?
ReplyDeleteHeko mwanangu Happy kaza boots zaidi za kitabu! Matunda yake mazuri yaja! Afande,
ReplyDelete