WASHIRIKI wa Kongamano la Jumuia ya Wazee wastaafu, wakulima na wafanyakazi Zanzibar wakimsikiliza mtoa mada ya Historia ya Zanzibar , Ramadhan Suleiman Nzori (hayupo pichani) konamano hilo lilifanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani uliopo Kikwajuni mjini Zanzibar.
MTEMBEZI Moshi Said, akichangia katika Kongamano la Jumuia ya Wazee wastaafu,wakulima na wafanyakazi Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani uliopo Kikwajuni mjini Zanzibar.
TALIB Aboud Talib, akichangia katika Kongamano la Jumuia ya Wazee wastaafu,wakulima na wafanyakazi Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani uliopo Kikwajuni mjini Zanzibar.(Picha na Haroub Hussein).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...