WASHIRIKI wa Kongamano la Jumuia ya Wazee wastaafu, wakulima na wafanyakazi Zanzibar wakimsikiliza mtoa mada ya Historia ya Zanzibar , Ramadhan Suleiman Nzori (hayupo pichani) konamano hilo lilifanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani uliopo Kikwajuni mjini Zanzibar.
MTEMBEZI Moshi Said, akichangia katika Kongamano la Jumuia ya Wazee wastaafu,wakulima na wafanyakazi Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani uliopo Kikwajuni mjini Zanzibar.
TALIB Aboud Talib, akichangia katika Kongamano la Jumuia ya Wazee wastaafu,wakulima na wafanyakazi Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani uliopo Kikwajuni mjini Zanzibar.(Picha na Haroub Hussein).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...