Wasanii mahiri wa muziki wa Bongofleva,Diamond na Ney wa Mitego wakitumbuiza jukwaani usiku huu wakati tamasha la serengeti fiesta 2013 likiendelea ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Morogo ambapo maelfu wa tamasha hilo wamejitokeza kushuhudia mambo mbalimbali yaliyokuwa yakijiri.
Maelfu ya wakazi wa mji wa Morogoro na vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza usiku huu kushuhudia yanayojiri kwenye tamasha la serengeti fiesta 2013,ndani ya uwanja wa jamhuri mkoani Morogoro.
Mmoja wa sanii wakongwe wa muziki wa Bongofleva,Dullysykes a.k.a Mr Misifa akiwaimbisha mashabiki wake usiku huu ndani ya tamasha la serengeti fiesta 2013.PICHA ZAIDI INGIA MICHUZIJR.BLOGSPOT.COM
I was there and it was very fantastic
ReplyDelete