Aliekua mpiga mpicha wa kujitegemea kutoka ‘The best photo studio’ mjini Chake chake Pemba, Ali Khatibu Haji (28) akiwa kazini hivi karibuni kabla ya kukumbwa na umauti katika ajali ya gari usiku wa kumkia juzi 19.9.2013 eneo la benki ya watu wa Zanzibar, mjini Chake chake Pemba. Globu ya Jamii inatoa mkono wa rambirambi kwa wafiwa na wanahabari wa Zanzibar kwa msiba huu mzito.
Mola na aiweke roho ya
marehemu pahala pema peponi
-AMIN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...