Aliekua mpiga mpicha wa kujitegemea kutoka ‘The best photo studio’ mjini Chake chake Pemba, Ali Khatibu Haji (28) akiwa kazini hivi karibuni kabla ya kukumbwa na umauti katika  ajali ya gari usiku wa kumkia juzi 19.9.2013 eneo la benki ya watu wa Zanzibar, mjini Chake chake Pemba. Globu ya Jamii inatoa mkono wa rambirambi kwa wafiwa na wanahabari wa Zanzibar kwa msiba huu mzito. 
Mola na aiweke roho ya 
marehemu pahala pema peponi
-AMIN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...