Home
Unlabelled
CCM wakiimba nyimbo ya hamasa wakati wa kufunga mafunzo ya viongozi na watendaji wa chama Dodoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hao jamaa wanamaanisha kweli... wanaimba "Kulinda na kuendeleza ujamaa wetu...." nadhani hii "chorus" ilibidi ifanyiwe marekebisho makubwa (a complete overhaul) hivi CCM inajenga Ujamaa, Siasa ya Ujamaa bado ipo Tanzania?
ReplyDeleteUjamaa ulikuwa kiboko yao!
ReplyDeleteNdani ya Ujamaa huu Ufisadi unaotesa sasa hivi usingetia maguu kabisa.
Tumeshuhudia Ankali Michuzi akitundika humu Jamvini Picha ya Wabunge ya mwaka 1984 wakipanda Basi la viti vya 'katashingo' la abiria 65 Leyland Albion wakitokea Dar kuelekea Dodoma !!!
Mkataa pema pabaya panamwita!
ReplyDeleteKulingana na kasi ya kutisha ya Ufisadi uliopo ktk Ubepari huku tukiona madhara yake makubwa tunajuta sana ni bora kama ingewezekana tukarudi kwenye Siasa ya Ujamaa !!!