Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa akimkabidhi tuzo ya jumla Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga baada ya kuwa washindi wa jumla kwa uwakilishaji wa mapema michango ya wafanyakazi wake katika Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), wakati wa mkutano wa 23 wa wanachama wa PPF uliofanyika leo katika Hoteli ya Kimataifa wa AICC jijini Arusha.
 Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga akiwa na tuzo zilizotolewa na Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF),kwa benki hiyo baada ya kuwa washindi wa jumla kwa uwakilishi wa mapema wa michango ya ya wafanyakazi wao katika mfuko wa PPF, wakati wa mkutano wa 23 wa wanachama wa PPF uliofanyika leo katika Hoteli ya Kimataifa wa AICC jijini Arusha .
Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga (katikati) akiwa na maofisa benki ya CRDB baada kukabidhi tuzo ya taasisi za fedha zilizowakilisha mapema michango ya wafanyakazi wake katika Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), wakati wa mkutano wa 23 wa wanachama wa PPF uliofanyika katika Hoteli ya Kimataifa wa AICC jijini Arusha. Kushoto ni Meneja Rasirimali Watu, Glory Mwanyika na Ofisa Rasirimali Watu, Prisca Massawe. 
Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga akizungumza na waandishi wa habari.

Picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...