Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa akimkabidhi tuzo ya
jumla Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga baada ya
kuwa washindi wa jumla kwa uwakilishaji wa mapema michango ya
wafanyakazi wake katika Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF),
wakati wa mkutano wa 23 wa wanachama wa PPF uliofanyika leo katika Hoteli ya
Kimataifa wa AICC jijini Arusha.
Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa
Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga akiwa na tuzo zilizotolewa na Mfuko
wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF),kwa benki hiyo baada ya
kuwa washindi wa jumla kwa uwakilishi wa mapema wa michango ya ya wafanyakazi wao
katika mfuko wa PPF, wakati wa mkutano wa 23 wa wanachama wa PPF uliofanyika leo katika Hoteli ya Kimataifa wa AICC jijini Arusha .
Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga (katikati) akiwa na maofisa benki ya CRDB baada kukabidhi tuzo ya taasisi za fedha zilizowakilisha mapema michango ya wafanyakazi wake katika Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), wakati wa mkutano wa 23 wa wanachama wa PPF uliofanyika katika Hoteli ya Kimataifa wa AICC jijini Arusha. Kushoto ni Meneja Rasirimali Watu, Glory Mwanyika na Ofisa Rasirimali Watu, Prisca Massawe.
Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga akizungumza na waandishi wa habari.
Picha ya pamoja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...