Sehemu ya Gym hilo la nguvu ambalo lina kila kifaa cha kisasa cha kufanyia mazoezi ya mwili na viungo chini ya waalimu waliobobea kwenye fani. Gym hii ipo ndani ya Kibo Complex eneo la Tegeta. Yaani huna haja ya kwenda katikati ya jiji kufuata huduma hii muhimu kwa afya yako
 Hapa kitambi hakichukui raundi
Gym safi na yenye waalimu waliobobea wakiwa na vifaa vyote vya kisasa vya mazoezi. Kwa habari zaidi tembelea tovuti yao BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Pana Bwege mmoja Mdau humu ndani alikuwa anadai ati ohhh Kibo Complex sio kubwa, ohhh haina viwango, ohhh ,ohhh, ohhh, !


    Jamaa alikuwa anaponda nafikiri hata kufika hapo Tegeta hakuwahi kufika , sasa humo ndani ni hivyo (ipo kama huko Mbele/ Majuu) je leo yule Bwege atasema nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...