Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznzania, akihutubia wakati
akifungua mkutano wa siku nne wa Kimaitaifa wa Afrika kuhusu Mabadiliko
ya Tabianchi, uliofanyika kwenye Ukumbi wa AICC jijini Arusha leo.
Baadhi
ya washiriki wa mkutano huo, wakiwa ukumbini wakimsikiliza Makamu wa
Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia kufungua mkutano huo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiagana na Mwanasayansi wa masuala ya hali ya hewa, Dkt. Arame Tall,
wakati akiondoka baada ya kufungua mkutano wa siku nne wa Kimaitaifa wa
Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, uliofanyika kwenye Ukumbi wa AICC
jijini Arusha leo.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...