Hakuna shaka yoyote unapolitaja jina la mji wa kihistoria Bagamoyo (Bwagamoyo) aka
B.O ,sifa za mji huo zimejaa wingi wa utajiri usio mfano na moja ya utajiri uliopo Bagamoyo ni mwanamuziki wa Reggae wa kimataifa mtoto wa kitanzania
Jhiko Manyika a.k.a Jhikoman & Afrikabisa band,
Pamoja utajiri na urithi wa kihistoria uliopo mjini Bagamoyo, mwanamuziki Jhikoman
akupa buradani ya wimbo wa "MALKIA" msikilize
Home
Unlabelled
Pata burudani za mwanamuziki Jhikoman & Afrikabisa Band,kutoka Bagamoyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kazi nzuri sana Jhikoman ni kiwango cha kimataifa kabisa!!Kiswahili safi sana na mpangilio mzuri wa sauti,vyombo na kila kitu!
ReplyDelete