Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika mazungumzo rasmi na Rais wa Bunge la Switzerland (Uswisi) Mhe. Maya Graf, (wa pili kulia) wakati alipofika Ofisini kwake Bungeni jijini Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya mazungumzo pamoja na ujumbe wake. Waliopamoja na Spika Makinda ni Baadhi ya Maafisa kutoka Ofisi ya Bunge.
Rais wa Bunge la Switzerland, Mhe. Maya Graf akifurahia zawadi aliyopewa na mwenyeji wake mara baada ya mazungumzo yao leo.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkaribisha Rais wa Bunge la Switzerland (Uswisi), Mhe. Maya Graf, wakati alipofika Ofisini kwake Bungeni jijini Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya mazungumzo. Kulia ni Balozi wa Uswisi hapa nchini, Mhe. Olivier Chave.Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Well dressed Hon. Anne Makinda keep Africa always beautiful & respectful...doh, this other Madam's dress.......mmmh?????

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...