MAREHEMU JANE NATHAN MSHANA

MKURUGENZI WA HALIMASHAURI YA WILAYA YA MISUNGWI, MWANZA (BWANA NATHAN MSHANA), ANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MTOTO WAKE MPENDWA JANE NATHAN MSHANA, KILICHOTOKEA SIKU YA ALHAMISI (TAREHE 31 OCTOBA 2013) KATIKA HOSPITALI YA MOUNT MERU ARUSHA.

HABARI ZIWAFIKIE BIBI, BABA, MAMA, SHANGAZI, KAKA NA DADA WA MAREHEMU POPOTE WALIPO; WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB ARUSHA; WAFANYAKAZI WA HALIMASHAURI YA WILAYA YA MISUNGWI; NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI POPOTE PALE WALIPO.

MWILI WA MAREHEMU UNATEGEMEWA KUSAFIRISHWA KUTOKA ARUSHA KWENDA KIJIJINI VUDEE MSANGA, WILAYA YA SAME TAREHE 2 NOVEMBA 2013, KWA AJILI YA MAZISHI YATAKAYOFANYIKA JUMAPILI MCHANA TAREHE 3 NOVEMBA 2013.

 “RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA
NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE APUMZIKE KWA AMANI”   AMEN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. May her soul rest in eternal peace, poleni wafiwa!

    ReplyDelete
  2. Poleni sana wafiwa.
    Roho ya marehem ipumzishwe mahali pema peponi. Amen.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...