Kampuni ya Strabag imeanza ujenzi wa barabara ya njia nne katika eneo la
Kivukoni Front ambalo lina ofisi mbalimbali za Serikali. Ujenzi huo
ulianza jana tarehe 30 Oktoba, 2013. Kwa mujibu wa wajenzi, ujenzi huo utaunganisha Barabara za Kilwa na Morogoro. Aidha inaelezwa kuwa maegesho ya magari yatakuwepo pembezoni mwa barabara upande wa bahari ujenzi ukiisha,lakini kwa sasa watu wanapaki maeneo mengine ya mjini.Picha zote na "Bella"
Home
Unlabelled
Ujenzi wa Barabara ya njia nne waanza Kivukoni Front
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Waendwa-kwa- miguu pia tuwekewe vibaraza vya simenti (pavement)katk njia hii inayotanuliwa.
ReplyDeleteMdau
Kivukoni Front
wekeni na njia ya baiskeli
ReplyDeletePia wasitusahau wenda kwa miguu na hata waendesha baskeli, mkatuwekea alau vivukio ( Pedestrian Crossings like Pelican, Puffin, Toucan e.t.c.) Mbali ya hizo 'ZEBRA crossings' ambazo hata kuzijali, kuziheshimu na kuzithamini huwa hakupo kwa madereva na si aghlabu hata kuonekana kwa kufukiwa na vumbi/michanga. Naamini taatibu taratibu almuradi hatusimami tutafikia malengo.
ReplyDelete