Makamu
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa PPF,Dk. Aggrey
Mlimuka (kushoto) akimkabidhi kadi ya Uanachama wa PPF,Mwenyekiti wa
Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii na Mbunge wa Jimbo la Peramiho,Mh.
Jenista Mhagama muda mfupi baada ya kujiunga na Mfuko huo,ambapo zaidi ya Wabunge Saba walijiunga na Mfuko huo.Makabidhiano hayo yalifanyika jana jioni kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha kunakofanyika Mkutano wa 23 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF.Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa PPF,William Erio.
Makamu
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa PPF,Dk. Aggrey
Mlimuka (kushoto) akimkabidhi kadi ya Uanachama wa PPF,Mbunge wa Viti Maalum,Mh. Amina Mwidau muda mfupi baada ya kujiunga na Mfuko huo,ambapo zaidi ya Wabunge saba walijiunga na Mfuko huo.Makabidhiano hayo yalifanyika jana jioni kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha kunakofanyika Mkutano wa 23 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF.Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa PPF,William Erio.
Mbunge wa Jimbo la Mkanyageni,Mh. Habib Mnyaa akijaza Fomu za kujiunga na Mfuko wa Pensheni wa PPF,wakati wa Mkutano wa 23 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Mbunge wa Jimbo la Singida kusini,Mh. Mohamed Misanga pia alikuwa ni mmoja wa Wabunge hao waliojiunga na Mfuko huo wa PPF.
Mbunge wa Jimbo la Mkanyageni,Mh. Habib Mnyaa akijaza Fomu za kujiunga na Mfuko wa Pensheni wa PPF,wakati wa Mkutano wa 23 wa Mwaka wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
Mbunge wa Jimbo la Singida kusini,Mh. Mohamed Misanga pia alikuwa ni mmoja wa Wabunge hao waliojiunga na Mfuko huo wa PPF.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...