Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Mwakilishi wa Shirika la
Save The Children Bw. Mubarak Maman,(katikati) alipofika kumuaga Rais
leo baada ya kumaliza muda wake wa kazi.pia na Bibi Mali
Nilsson,(kushoto)ambaye alipofika kujitambulisha Ikulu Mjini
Zanzibar,kushika nafasi ya kuwa mwakilishi mpya wa Shirika hilo la
Save The Children,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Home
Unlabelled
Dkt. Shein akutana na Mwakilishi wa Shirika la Save The Children
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...