Makamu wa RaisMohammed Ghalib Bilal kushoto akisikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki (kulia) mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa Kilimo cha zao la Korosho, ambapo kituo hicho kiliwasisitiza wawekezaji kutumia fursa za vivutio vinavyotolewa na kituo hicho kuwekeza katika zao la Kilimo cha Korosho katika mikoa ya kusini Lindi, Mtwara, Pwani na Tunduru mkoani Ruvuma. Kati ni Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho nchini, Bw. Mudhihir Mudhihir.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...