Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Balozi mdogo wa Oman Sheikh Saleh Al-Hafidh aliyefika Ofisini kwake Migombani kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa utumishi nchini.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na  Balozi mdogo wa Oman Sheikh Saleh Al-Hafidh,  Ofisini kwake Migombani.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa na  Balozi mdogo wa Oman Sheikh Saleh Al-Hafidh,  Ofisini kwake Migombani, baada ya kumaliza mazungumzo yao. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...