Timu ya Taifa, kilimanjaro Stars Leo imecheza mechi yake ya kwanza ya CECAFA Challenge Cup  na timu ya Taifa ya Zambia katika mji wa Machakos, ambao uko takriban kilometa 60 kutoka Nairobi. Timu hizo zimefungana 1-1. Kwa ujumla mchezo ulikuwa mkali na wa kusisimua sana, Katika mechi iliyotangulia ambayo iliwakutanisha Burundi NA Somalia, Burundi iliwafunga Somalia goli 2. Yafuatayo ni matukio katika picha
 Hapa vijana wetu wakiwa katika Picha ya Pamoja Kabla ya kwanza kwa kipindi cha kwanza
 Bwana shiyo Pamoja na Gavana wa Machakos wakiwasalimia wachezaji.
 Mtanange ukiendelea uwanja wa Machakos.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hongera stars ...fanyeni kweli kwa mechi zijazo bado safari ni ndefu kuna timu za kutisha kama ethiopia na uganda...

    ReplyDelete
  2. Huyu Gavana Mutua ana maono makubwa kwa ajili ya Kaunti yake ya Machakos. Anatoa ardhi kwa wawekezaji ili wajenge mji mpya. Najua ipo mikoa iliyokwisha alika wawekezaji na yenye master plan zinazoeleweka lakini siyo yote. Hii ni challenge kwa wakuu wa mikoa je mna maono gani ya kutaka mikoa na wilaya ziwe na miji na vijiji vya kisasa?.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...