Washiriki wa kijiwe cha ughaibuni wakichangia hoja kwenye kipindi cha Kijiwe cha Ughaibuni kilichorekodiwa New York Jumamosi Oct 26, 2013 na kitaenda hewani kesho Jumatano November 6, 2013 badala la leo Jumanne kutokana na matatizo ya ufundi yaliyokuwa nje ya uwezo wetu Kruu nzima ya Kijiwe cha Ughaibuni tunaomba radhi kwa usumbufu wote utakaotokea.
Mambo yalikuwa kama hivi unavyoona kwenye picha mjadala ukiendelea.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mara nyingi kijiwe kama hiki huwa kinaboa si kama chenye kuundwa na washiriki waliozoeleka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...