Mbunge wa Kilolo ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Profesa Peter Msolla akiongea na Watanzania waishio nchini Uingereza kuhusu Bunge la Jamhuri wa Muungano linavyofanya kazi umuhimu sayansi na teknolojia.

Profesa Msolla alisema nchi yetu inahitaji sana waalimu wa sayansi. “Twahitaji waalimu wa fizikia na hesabu. Waalimu walio wabunifu watakaowafanya wanafunzi wayapende masomo hayo” ili kuleta Maendeleo nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...