Jumuiya ya watanzania  wa Leeds tunasikitika kutangaza habari ya msiba wa dada yetu.Mrs Maua Mpankuli (pichani) uliotokea jana usiku tarehe 1 Novemba 2013 hapa Leeds, United Kingdom.

Msiba utakuwa nyumbani kwake:
8 Beech Crescent,
Leeds,
LS9 6SQ

Marehemu ameacha mume na watoto Saba wanne wapo hapa UK na watatu wako nyumbani. Marehemu katika siku za maisha yake alikuwa anafanya kazi Hospitali ya Muhimbili kama Nurse, baadae akaja UK kwa masomo zaidi na kufanikiwa kupata kazi kama Nurse kazi aliyoifanya mpaka siku za kuumwa kwake akaacha kazi. 
 
Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu toka UK kwenda Tanzania kwa mazishi inafanywa na Mwili unategemewa kusafirishwa siku ya Alhamisi kuelekea Tanzania.

Jumuiya ya watanzania wa Leeds na UK kwa ujumla mnaombwa mchango wa kufanikisha shughuli za kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Tanzania kwa ajili ya mazishi. Kwa wale watakaopenda kuwasilisha michango ya pesa kusaidia shughuli hii  wanaweza kutuma kwenye akaunti za mume na binti wa marehemu.

Name: Martin Mpankuli
Bank: Barclays
A/C No.: 10927333
Sort Code: 204842
Swiftbic: BARCGB22

Name: Gift Angela Hamisi
Bank: Lloyds
A/C No.: 20044160
Sort Code: 771410

Kwa maelezo zaidi wasiliana na
Peter Timakela kwa simu 07402555424
Thomas Kiwalaka  0752 64 99312

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...