Kundi la Black Warriors likiendelea kutumbuiza kwenye kampeni ya ‘Nani Mtani Jembe Tour’ kwenye baa ya Tanzanite Park iliyopo Kimandoro, Arusha ambayo ipo kanda ya kaskazini na mashariki inayojumuisha pia mikoa, Kilimanjaro na Tanga ambapo mashabiki wa timu hizo wanatakiwa kuzipigia kura timu zao za Simba na Yanga ili zipate pointi nyingi zitakazowezesha kupata fedha nyingi.Jumla ya Tsh. 100Milioni kushindaniwa.
Wadau wa Simba na Yanga wakionyesha furaha zao wakati wa timu ya kampeni ya ‘Nani Mtani Jembe Tour’ ilipokuwa kwenye baa ya Tanzanite Park iliyopo Kimandoro, Arusha ambayo ipo kanda ya kaskazini na mashariki inayojumuisha pia mikoa, Kilimanjaro na Tanga ili kuhamasisha upigaji kura kwa mashabiki wa Simba na Yanga ili zipate pointi nyingi zitakazowezesha kupata fedha nyingi.Jumla ya Tsh. 100Milioni kushindaniwa.
Mshereheshaji wa kampeni ya ‘Nani Mtani Jembe Tour’, Pendo Robert akimvika jezi ya Simba, Frank James baada ya kushinda kwa kujibu maswali yanayohusiana na bia ya Kilimanjaro Premium Lager kwenye baa ya Tanzanite Park iliyopo Kimandoro, Arusha ambayo ipo kanda ya kaskazini na mashariki inayojumuisha pia mikoa, Kilimanjaro na Tanga ambapo mashabiki wa timu hizo wanatakiwa kuzipigia kura timu zao za Simba na Yanga ili zipate pointi nyingi zitakazowezesha kupata fedha nyingi.Jumla ya Tsh. 100Milioni kushindaniwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...