Bi. harusi mtarajiwa akiwa na mpambe wake. 
 Picha ya pamoja.
 Kufungua mvinyo.....
 Vinywaji vilitembea.......
 Mary akilishwa keki kama ishara ya upendo.
 Mary akiwa na Cathbert.
 Bi. Harusi mtarajiwa Mary akiwa amepozi na bwana harusi mtarajiwa, Cathbert wakati wa send off yake ilitofanyika Novo Hoteli jijini Arusha hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Watarajiwa wamependeza saaana ila naona dogo "KAMEZWA" ile mbaaaya.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ndo maisha hayo mdau. Wengine waende wapi?

      Delete
  2. Love the couple!
    MWANAMKE wa shoka, you can tell hana mchezo!,
    Kazi anapiga , kuishi vizuri na ni mrembo!! THUBUTU kuvuruga nyumba yake!!

    ReplyDelete
  3. Dogo uliyetia mguu hapo huogopi 'vitasa?'anyway, uwe unakwenda kwa akina Matumla, Cheka na Kinyogoli uwe unapata 'shule'

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...