Balozi Ramadhan Mwinyi, Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Tanzani katika Umoja wa Mataifa akizungumza wakati wa majadiliano kuhusu taarifa ya Kamisheni ya Umoja wa Mataifa inayohudumia wakimbizi ( UNHCR). Katika mchago wake, Balozi Mwinyi pamoja na Mambo mengine alieelezea uzoefu wa Tanzania katika kuwapokea, kuwahifadhi na pia mchakato wa kuwarejesha makwao kwa hiari wakimbizi baada ya hali ya usalama kutengemea. Pia alisifu ushirikiano mzuri ulipo katika ya Tanzania na Shirika hilo. Taarifa ya UNHCR inaelezea kwamba kwa kipindi cha mwaka jana watu 1.1 milioni walizikimbia nchi zao kutoka na sababu mbalimbali ikiwamo vita na machafuko kiasi cha kuliongezea mzigo Shirika hilo wakimbizi hao wanatoka katika nchi za DRC, Mali, Sudan/Sudan ya Kusini na Syria.

 Kwa taarifa zaidi soma hapo chini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...