Katibu wa Bunge, anasikitika kuwataarifu kifo cha mtumishi wa Ofisi ya Bunge ktk idara ya shughuli za Bunge, Mkurugenzi Msaidizi Ndg. Anselm L. Mrema kilichotokea jana usiku tarehe 10.11.2013 ktk hospitali ya mkoa, Dodoma.

 Ofisi inaendelea na taratibu za mazishi kwa kushirikiana na familia ya marehemu, tutaendelea kuwapa taarifa zaidi kutokana na msiba huo. 

 Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen! 

 11.11.2013.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Anselm ni mshumaa uliozimika ghafla,hakuna anayeamini kwamba haupo nsi tena.Bunge limepoteza mtumishi mchapakazi.RIP Mrema

    ReplyDelete
  2. Oooh God, very sad. Tunaomba Mungu awape faraja familia yake katika kipindi hiki kigumu hasa kwa kuondoka kwake gafla namna hii. Bwana ametoa na ametwaa jina lake lihimidiwe.

    ReplyDelete
  3. May God rest your soul in peace Uncle Anselm really you are and always be remembered in our family. Mom Matthew

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...