Home
Unlabelled
upanuzi wa barabara ukiendelea kivukoni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nauliza, wanapanua barabara kwenda Feri a.k.a Kivukoni huku daraja la Kigamboni likijengwa kwingine!
ReplyDeleteJe daraja la Kigamboni likiisha umati huo huko Kivukoni utakuwepo? Na je huduma za Feri zitaendelea kuwepo? Huduma za mabasi-ya-kasi a.k.a DART watabeba abiria gani hukoFeri?
Huu siyo upotevu wa kodi zetu wananchi kwa miradi isiyo-endelevu maana naamini huduma za Feri zitasitishwa daraja la Kigamboni likiisha.
Mdau
Mlipa-Kodi
Huduma za ferry hazitasitishwa bali pia zitaboreshwa na ukumbuke wananchi wa kigamboni, kibada na tuangoma watakuwa na njia mbadala zote zikiwa ni za kulipia kwa faida yao na urahisi wa kufika katikati ya mji wa biashara Dar es salaam.
Delete