Mwenyekiti wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Women Footprints Initiative (WOFI) Vida Nasari Mndolwa
(kushoto) akiongea na waandishi wa habari kuhusu majadiliano ya namna ya kuwainua mwanamke wa
Tanzania kiuchumi yatakayofanyika Jumamosi Novemba 16, 2013 katika hotel ya Mayfair Plaza, jijini Dar
es Salaam. Kulia ni Katibu wa taasisi hiyo Grace Mihayo Malekani.
Mgeni rasmi katika majadiliano hayo anatarajiwa kuwa mama Asha Bilal, mke wa Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Home
Unlabelled
Womene Footprints Initiative kuandaa kongamano lenye lengo la kuwainua wanawake kiuchumi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...