Mchezaji wa Timu ya Simba,Hamis Tambwe akipiga Mkwaju wa Penati uliokwenda moja kwa moja wavuni na kuiadikia timu yake bao la pili katika dakika ya 42 ya mcheo huu wa Nani Mtani Jembe unaoendelea hivi sasa hapa Uwanja wa Taifa,jijini Dar es Salaam.
 Beki wa Yanga,Kelvin Yongani (kati) akiondoka na mpira mbele ya wapinzani wake.
Golikipa wa Yanga,Juma Kaseja akiondosha moja ya hatari iliyokuwa inaenda langoni kwake.Dakika 45 za kipindi cha pili ndio zimeanza hivi punde huku mpira ukiwa ni wa kasi kwa pande zote.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Yanga chali!

    Ni afadhali ya Polisi Kilwa wapo juu.

    Yaani pamoja na kumsajili Okwi bado tu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...