Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa akihutubia wananchi wa Sikonge Tabora.

Dr Slaa Akihutubia wakazi wa Mtakuja, Tabora.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Jamani mwenye macho haambiwi ona,yaani uwanja mweupe hii kuonyesha zito ananguvu sn Chadema

    ReplyDelete
  2. Wewe mdau wa Kwanza Fikiri nje ya boksi. Ziara hizi anafanya eneo moja hadi lingine. Hivyo, si wananchi wote lazima wakusanyike eneo moja. Unategemea ahutubie kijijini uone watu 10,000? Je, haujui vijiji vyetu vilivyo na nyumba zilizo mbalimbali. Eneo kubwa watu wachache. Statement yako ingeweza kuwa sahihi kama Mktano ungekuwa umefanyika mjini; Tabora mjini; Kigoma mjini; Mwanza mjini; Dar es Salaam, nk

    ReplyDelete
  3. HUYU MZEE AMESHAKUWA MZIGO CDM. LAKINI NDIYO HIVYO, ILI AISHI ANAHITAJI POSHO. NA POSHO LAZIMA ZIWE NA MAELEZO!

    ReplyDelete
  4. Hii ni mikutano ya kuwadanganya watu wasio na kazi. Ulaya mikutano hii hamna. wanafanya kwenye ma hall tena watu wachache waliooalikwa. Ukiacha beba box uende mkutanoni una loose pesa. Fanyeni hiyo mikutano kutoa ajira kwa vijana na siyo maneno matupu.

    ReplyDelete
  5. Dr. Slaa chapa kazi,usisikilize vijimaneno vya Magamba wala Masalia Buku 7 wa Lumumba.

    ReplyDelete
  6. UELEWA NA UWEZO WA KUFANYA UPEMBUZI YAKINIFU WA MASUALA MBALIMBALI YA NCHI YETU WA KAMANDA MMOJA WA CDM NI SAWA NA MAGAMBA 47 WA CCM.FIKIRIA HALAFU JITAMBUE.

    ReplyDelete
  7. Looh, wee mdau wa pili unajieleza kama mfa maji f'lani! Nadhani we msaidizi wa huyu Mzee Slaa! Maana huo utetezi unaoutoa wa ziara yake hauendani na zile pambo za Chadema. Tukubali tu kwamba Chadema hali sasa inaanza kuwa mbaya!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...