KUFUATIA mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbali mbali ya mji wa Zanzibar leo asubuhi Barabara nyingi zimejaa maji na kusababisha watumiaji kupata usumbufu kutokana na wasi wasi wa kuharibika kwa njia hizo pichani gari zikipita kwa tabu katika eneo la Mwanakwerekwe .(Picha na Haroub Hussein).
 Mabwawa kila pahala
 Hali ya mvua katika maeneo ya Jang'ombe Unguja leo.
 Maji kila kona
Biashara nyingi zimesimama

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mitaro na mikondo ya maji iangaliwe ili kuzuia mafuriko..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...