Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma,Kamishna Msaidizi wa Polisi SUZAN S. KAGANDA akionyesha baadi ya vitu walivyokutwa navyo watu saba wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani humo kwa makosa mbalimbali. 
Sehemu ya vitu hivyo.

Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linawashikilia watu saba kwa makosa mbalimbali waliokamatwa katika harakati za kufanya uhalifu.

Akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake Kamishna Msaidizi wa Polisi SUZAN S. KAGANDA amesema tukio la kwanza limetokea tarehe 20/12/2013 majira ya saa 23:00 usiku eneo la Kizota Manispaa ya Dodoma ambapo watu sita wamekamatwa wakiwa wamevunja ghala kwa kung’oa bati moja la paa na kuingia ndani.

Kamanda KAGANDA amewataja watu hao amabao ni:

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...