Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Bi. Chiku Galawa akifungua mkutano wa 97 wa watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kutoka katika Wizara na Taasisi mbalimbali za Umma. Mwenyekiti wa Mkutano huo ni Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Hamis Mdee akitoa maelezo ya utangulizi katika mkutano huo.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Clement Mshana akielezea umuhimu wa uaandaji wa vipindi vya elimu kwa umma kwa washiriki.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...