Mkuu wa Wilaya ya Arusha,Mh. John Mongella (wa pili kushoto walioketi) akiwa kwenye picha ya pamoja na Baadhi ya Makatibu Muhtasi wanaohudhuria Mafunzo ya Usimamizi wa Ofisi na Utawala (Advanced Office Management and Administration Skills) yaliyoandaliwa na Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA),ambayo yanamalizika leo kwenye Hoteli ya Lush Garden,Jijini Arusha.Wa pili kulia kwa walioketi ni Mwenyekiti wa Chama hicho,Pili Mpenda.
Baadhi ya Makatibu Muhtasi wanaohudhuria Mafunzo ya Usimamizi wa Ofisi na Utawala (Advanced Office Management and Administration Skills) yaliyoandaliwa na Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chama hicho,Pili Mpenda (wa pili kushoto kwa walioketi) ambayo yanamalizika leo kwenye Hoteli ya Lush Garden,Jijini Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Jamani ilikuwa lini hatukuwa na taarifa kabisa, hata kwenye fb hamkuposti au ni kwa watu wa Arusha tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...