Waziri wa Uchukuzi,Dr Harisoni Mwakembe afanya ukakuguzi wa tiketi ilikubaini mabasi yaliyo toza gharama kubwa za nauli zakusafiria katika kipindi cha Xmass na mwaka mpya,badhi ya mabasi yalikamatwa nakuamuliwa kurudisha nauli zilizozidi abiria wao.zoezi hilo limefanyika majira ya alfajiri katika eneo la Visiga mkoani pwani na kila basi lilozidisha nauli lilitozwa faini ya shilingi laki mbili na nusu.
Home
Unlabelled
WAZIRI MWAKYEMBE AFANYA UKAGUZI WA BEI ZA TIKETI ALFAJIRI MAENEO YA VISIGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hongera sana Mhe. Dr.Harrison Mwakyembe kwa Kazi iliyotukuka ya kuwaibukia hao Wahujumu Afajiri ya Majogoo kuwika!
ReplyDeleteNi kawaida yao hao wadau wa Usafiri wa Mabasi ya Mikoani kuwatoa damu abiria katika misimu kama huu wa Krismasi na Mwaka Mpya.
WEMBE NI ULE ULE TUWANYOE MAFISADI KUANZIA NGAZI YA USAFIRI WA MABASI HADI NGAZI YA TAIFA!!!
Jembeee
ReplyDeleteMwakyembeeeeeeee Ni mwanaume wa ukweeeli na kiongoooozi wa ukweeeli anatetea haki za wana nchi kupitaaaaa kiasi jamani!!!! Mungu mbariki muheshimiwa Mwakyembe Kila siku,
ReplyDeleteTusiwe na tabia ya kulaumu wale "mizigo" tu, na hawa wanao onekana wanajitahidi tuwasifie.
ReplyDeleteWajanja hao jamaa unafikiri wanaandika walichokutoza?
ReplyDeleteHuyu mh wala si mzigo hata siku moja, anafaa apewe nafasi. Ya Urais anawapenda wananchi wenzake. Mchapakazi
ReplyDeleteSafi sana jembe letu Mwakyembe
ReplyDeleteIla njoo na uku Arusha
Nauli ya Arusha Moshi ni shilingi 6000 badala ya 3000
Kazi nzuri sana, Hon. Mwakyembe...watanzania wanataka kuona viongozi wetu kama hivyo unavyofanya wewe....yaani mkishughulikia moja kwa moja kero zinazo wanyanyasa wananchi.
ReplyDeleteUnapoacha ofisi yenye "furu kiyoyozi" ukaenda field, na watu wakaona optput ya hicho unachokifanya huko ndiyo kuwajibika, Muheshimiwa...ndo uzalendo huo, baba!
Ingawa hivyo, naamini "Waziri Mkubwa" hawezi kukupiga stop kama alivyomfanyizia Hon. J.P. Magufuli.
Lol hii kali waziri afanya kazi ya traffic!
ReplyDeleteMwakyembe ni Jembe, Muheshimiwa mkuu wa Kaya usituondolee hili Jembe katika pangua pangua yako utakayofanya hivi karibuni, tupo chini ya miguu yako mkuu wa kaya
ReplyDeleteSasa waziri atafanya kazi ngapi? Hakuna wasaidizi wake au polici wanao weza kufanya hiyo kazi.
ReplyDeleteHivi mbona hotels na airlines zinaongeza bei kwenye high season lakini hazifuatiliwi. Gii sio ndio high season ya mabasi?
ReplyDelete