Baadhi ya Wananchi wa Vijiji vya Uzi na N’gambwa  wadogo kwa wakubwa wakiendelea na harakati za matengenezo ya barabara yao itokayo Unguja Ukuu hadi Uzi kila baada ya kupungua kwa kina cha maji.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi wa Bara bara ya Unguja     Ukuu – Uzi Bwana Shaya Mohd akimuonyesha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif eneo lenye kupitisha maji mwengi ambayo huleta kadhia kwenye barabara yao.
 Balozi Seif akikagua barabara ya Unguja Ukuu hadi Uzi ambayo iko katika kiwango cha mawe ambayo inatengenezwa na Wananachi wenyewePicha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.
Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mh Raza yupo wapi na hilo ndio jimbo lake?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...