Waziri Mkuu Mstaafu Dr Salim Ahmed Salim akiongea na mgeni wake Mheshimiwa Balozi wa Nigeria Bwana Ishaya Majanbu aliyemtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwasilisha ujumbe wa mwaliko maalum wa Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan kushiriki katika Kongamano la Viongozi Wakuu wa Nchi na Serikali barani Afrika litakalofanika nchini Nigeria kwenye kilele cha sherehe za maadhimisho ya miaka 100 ya Muungano wa Shirikisho la Nigeria.
Home
Unlabelled
balozi wa nigeria nchini amtembelea dkt salim ahmed salim
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...