Kundi la Taarab la Taifa la Zanzibar likitumbuiza wakati wa kilele cha sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi uwanja wa Polisi wa Ziwani mjini Zanzibar Januari 12, 2013
Home
Unlabelled
Burudani ya taarab halisi katika sherehe za miaka 50 ya mapinduzi zanzibar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Burdaaaani..yaani nimesikiliza kwa makini na kufurahia japo nyimbo ni ya kitambo. Tunafanya makosa sana kwa kuwapa vichwa hawa wanaouchafua mziki wa taarabu kwa sasa eti kwa kuwapa tuzo mbali mbali, huku ni kuwavunjia heshima watu waliotunga na kuimba nyimbo zenye maadili na hata kusisimua na kukuacha ukiburudika,hapa namaanisha taarabu zote za zamani {Classic}.
ReplyDeleteMarhabaaaaaa! Sasa hii ndo ileee Taarab khalisi ya asili na hii nyimbo ndo 'Original' khasaaa! Tuachane na zile new 'version' mbili zilizotoka miaka ya karibuni, moja wapo haina mana 'pesa mbili' kama kuna unaemstahi huthubutu kuisikiliza na naskia moja ilipigwa marfuku. Pongezi za dhati kwa kundi zima la Taarab La Taifa mlohusika katika hafla hiyo. Zanzibar ni njema, atakae na aje! Mapinduzi Daima!
ReplyDeleteSubahanaLLAh nimeburudikaaaa Ankal ...Nimemuamini ni wangu mlezii anaenileaaaa... MAshaALLAh Ankal uwe unaweka hizi nyimbo banaaaaaa
ReplyDelete