Cristiano Ronaldo  akimwaga chozi baada ya kutangazwa mwanasoka bora wa FIFA  kwa mwaka 2013 usiku wa kuamkia leo jijini Zurich, Uswisi huku mwanae Cristiano Junior  na Pele pamoja na Rais wa Chama cha Soka cha Ufaranza Francois Moriniere wakishuhudia.
Cristiano Ronaldo na mwandani wake, Lionel Messi na Mwandani wake wakati wa sherehe hizo. 
CHEKI VITUZZZZ VYA RONALDO HAPO CHINI
...JAMAAA NI NOMA!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Christiano alikuwa ameikamia sana hii zawadi mpaka kufika kulia!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...