Mwakilishi wa Jimbo la Kwahani Ali Salum Haji kushoto akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Jimbo la Mkanyageni Haji Faki Shaali ndani ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Mnadhimu wa CUF Jimbo la Chonga Abdalla Juma Abdalla kulia akibadilishana mawazo na Wawakilishi nje ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.kushoto mwenye simu ni Mwakilishi wa Jimbo la Nungwi Haji Mwadini Makame. PICHA NA YUSSUF SIMAI -MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...