ODYSSEY WANAKUPA 'GOING BACK TO MY ROOTS' MWAKA 1981
-Makala hii ni kwa udhamini wa The Legend is Back @ Isumba Lounge, Dar es salaam ambao wameingia mkataba na Globu ya Jamii leo hii kurudisha enzi za enzi za disco katika miondoko ya Old School. Usikose kuchungulia hapa kila siku kuanzia saa 12 asubuhi usikie na kuona mambo ya Isumba Lounge kwa mwezi huu mzima wa Februari 2014.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. NARUDI LIKIZO MWISHO WA MWEZI UJAO. SIKOSI ISUMBA LOUNGE!

    ReplyDelete
  2. NARUDI LIKIZO MWISHO WA MWEZI UJAO. SIKOSI ISUMBA LOUNGE!

    ReplyDelete
  3. "cheki bobu poa! amevaa tina buu!....., kama una pati, nione leo tushindane kwa maua! those were the times!, we did not care whether we knew the lyrics or not!, we just translated the lyrics in KISWAHILI, admittedly in our own ways in order to fit with what was going on around us at the time! brilliant.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...