Tawi jipya la NMB Sumbawanga ambalo limehamishwa kutoka jengo la Bima lililopo makutano ya Mpanda-Msakila na linatoa huduma mbali mbali za kibenki na pia lina mashine tatu (3) za ATM.

Afisa wa Mikopo tawi la NMB Sumbawanga, Godwin Nguma akimhudumia mteja wa mkopo katika tawi jipya la NMB Sumbawanga lililohamishwa kutoka jengo la Bima lililopo makutano ya Mpanda-Msakila.

Wateja wa benki ya NMB Tawi la NMB Sumbawanga wakiendelea kupata huduma za kibenki katika tawi jipya la NMB Sumbawanga. Tawi hili linatoa huduma mbali mbali za kibenki na pia lina mashine tatu (3) za ATM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Doris ChandoJanuary 27, 2014

    Hongereni Sumbawanga kwa tawi hilo zuri la NMB

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...