Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bi. Winfrida Korosso akizungumza na wafanyakazi wa Tume wakati wa kuukaribisha mwaka mpya 2014.
Keki maalum kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya.
Ofisa Sheria wa Tume Bi. Zainabu Chanzi akimlisha Keki Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Korosso kwa niaba ya wafanyakazi wote waTume.
Ufunguaji wa Shampeni wakati wa kuukaribisha mwaka mpya 2014.
Wafanyakazi wa Tume wakishiriki katika kuukaribisha mwaka mpya 2014.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hiyo champagne ilikuwa ina kilevi au..kama ndio unywaji pombe ofisini ni sawa?

    ReplyDelete
  2. haikuwa na kilevi hiyo mhh jamani!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...