Mchungaji Kiongozi wa Kanisa  la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Msasani, Mchungaji Metili Olteshi akiongoza Ibada ya shukrani ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Waimbaji wa Kwaya ya Vijana ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Msasani wakiimba nyimbo za kumsifu Mungu wakati wa ibada ya shukrani, ambapo wafanyakazi wa Benki ya CRDB walitoa sadaka katika kanisa hilo.
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB pamoja na familia zao wakiwa katika ibada ya shukrani katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Msasani.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Toeni sadaka kila Jumapili Kanisani!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...