Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizidua kisima cha maji kilichojegwa na taasisi ya REHEMA Friendship And Solidarity Trust Kwa kushirikiana na Umoja wa Majirani Dunda (UMADU- PUGU) Kisima hicho kimegarimu kiasi cha Shilingi milioni 20.Kulia ni Mwenyekiti wa UMADU-PUGU Jackob Ayo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimpongeza Mchungaji Secilia Mkude wa EAGT mara baada ya kumtuisha ndoo ya maji baada ya kuzindua Kisima cha maji kilichojegwa na na taasisi ya REHEMA Friendship And Solidarity Trust. Kwa kushirikiana na Umoja wa Majirani Dunda (UMADU- PUGU) Kisima hicho kimegarimu kiasi cha Shilingi milioni 20.kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Said Meki Sadiki na Mwenyekiti wa REHEMA Asir Karabacaar.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwahutubia wananchi wa Pugu – Dunda mara baadaya kuwazindulia mradi wa kisima cha maji uliojegwa na taasisi ya REHEMA kwa kushirikiana na wananchi wa eneo hilo kupitia umoja wao UMADU-PUGU kwa gharama ya shilingi milioni 20 kulia ni mwenyekiti wa REHEMA Asir Karabacaar na kushoto ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadiki.
Wananchi wa eneo la Pugu – Dunda Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam wakimsikiliza Waziri Mkuu Mizengo Pinda hayupo picha mara baada ya kuwazindulia mradi wa Kisima cha maji kilichojegwa na taasisi ya REHEMA Friendship And Solidarity Trust. Kwa kushirikiana na Umoja wa Majirani Dunda (UMADU- PUGU) Kisima hicho kimegarimu kiasi cha Shilingi milioni 20.
Meneja wa Usanifu na Mipango wa TANESCO Mhandisi Theodary Bayona akifafanua jambo mbele ya Waziri Mkuuu wakati mkutano wa hadhara mara baada ya kuzinduliwa mradi wao wa maji uliojengwa na taasisi ya REHEMA Friendship And Solidarity Trust. Kwa kushirikiana na Umoja wa Majirani Dunda (UMADU- PUGU) Kisima hicho kimegarimu kiasi cha Shilingi milioni 20.
Mhandisi Charles Makoye wa DAWASA akifafanua jambo mbele ya Waziri Mkuuu wakati mkutano wa hadhara mara baada ya kuzinduliwa mradi wao wa maji uliojengwa na taasisi ya REHEMA Friendship And Solidarity Trust. Kwa kushirikiana na Umoja wa Majirani Dunda (UMADU- PUGU) Kisima hicho kimegarimu kiasi cha Shilingi milioni 20
Kisima cha maji ambacho Waziri Mkuu alikizindua katika eneo la Pugu ambacho kimejegwa na taasisi ya REHEMA Friendship And Solidarity Trust. Kwa kushirikiana na Umoja wa Majirani Dunda (UMADU- PUGU) Kisima hicho kimegarimu kiasi cha Shilingi milioni 20.Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. MAJI HADI KARNE HII TWABEBA KICHWANI!!!!

    ReplyDelete
  2. kwani maji hubebewa wapi? tuelimishe basi! Au serikali unaitaka ikupelekee hadi nyumbani kwako? Kama hutaki kutumia maji ya jamii kivyako.

    ReplyDelete
  3. Rehemaa safiii, maji safiii

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...