Mkurugenzi
Mtendaji wa kampuni ya Winch Energy Tanzania akiwasilisha mada mbele ya Waziri
wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo (aliyekaa upande wa kulia) kwenye
ukumbi ulioko kwenye ofisi za Wizara ya
Nishati na Madini. Lengo la kikao hicho lilikuwa ni kampuni ya Winch Energy
Tanzania kutambulisha majukumu yake ikiwa ni pamoja na kusambaza umeme wa
nishati ya jua.
Waziri
wa Nishati na Madini Prof. Sospeter
Muhongo akisisitiza jambo katika kikao hicho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...