Kijiwe cha Ughaibuni kinamtakiwa mwenzao Eric Bahunde (shati la njano) afya njema na kumuombea kwa Mwenyezi Mungu apone haraka Eric Bahunde amelazwa University of Maryland Medical Center kwa matibabu baada ya kupata ajali ya kukatika kwa miguu yote na mkono wa kulia. Kruu nzima ya Kijiwe cha ughaibuni inawaomba Watanzania wote wajitahidi kufika Hospitali kumjulia hali yupo ghorofa ya 6 chumba namba 8 na muulizie kwa jina la Elisha Bahunde Eric anapenda vyakula vya Kitanzania kama unaweza kumpekelekea maandazi, vitumbua na vinginevyo atashukuru sana.
Home
Unlabelled
KIJIWE CHA UGHAIBUNI MAALUM KWA MDAU ERIC BAHUNDE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
I wish I was in the US ninempelekea kila siku mpaka kashata... ALLAh atampa faraja!
ReplyDeletepole sana kama mpendwa mwenyezi mungu atakuafu kwani mungu ndio muweza wa kila kitu
ReplyDelete