Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akiwakaribisha Maafisa kutoka Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) katika Mkutano na Watumishi wa Wizara hiyo kuhusu Mpango wa Uchangiaji wa Hiari uliofanyika leo Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel kushoto akisalimiana Meneja Msaidizi wa Mfuko wa Uchangiaji wa Hiari kutoka Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) Bi. Matilda Nyallu katika Mkutano wa Watumishi wa Wizara hiyo uliofanyika leo Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Meneja Msaidizi wa Mfuko wa Uchangiaji wa Hiari kutoka Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) Bi. Matilda Nyallu akitoa mada kwa Watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo juu ya kujiunga na Mpango wa Uchangiaji kwa Hiara .Picha zote na Benjamin Sawe wa Wizara ya Habari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...